
Unaweza usiamini ukaona kama nakuongopea hivi, lakini ndo ilivyotokea. Siku ya Jmosi ya tarehe 19 Septemba 2009, Mwanamuziki wa kike Rihanna alitoka na pigo matata sana wakati akienda kuspend weekend hiyo ambayo ilikuwa siku moja kabla ya sikukuu ya IDD. Hiyo ilikuwa ni pale alipokuwa akiingia katika club ya 40/40 iliyopo new York City nchini Marekani.


Haya sasa mabinti wa kibongo na tabia zenu za kuiga,mvizie mdingi kaenda kuoga au yupo job afu chomoka na shati lake la kwa ofisi uzame nalo club kama hautasugua bench,I mean utacheza mwenyewe mwanzo mwisho na hakuna hata mwanume wa bahati mbaya atakayekusogelea labda awe ndugu yako....... Lakini natania tu, We pigilia afu ingia club Maisha au Billicanas,TUONEEE!
No comments:
Post a Comment