Wednesday, September 9, 2009

LYRICS............. ULISEMA - HEMED!

VERSE 1:
maradhi ya moyo siku zote
yanaweza kuja anytime
wala mi sikufanya lolote
wala vya nje sikutamani

PRE CHORUS:
i said no,girl, i never felt so right
i said no,girl, i never felt so right
wakati mwingine mi nalia
mpaka nashindwa kuvumilia
kwanini mummy unifanyie hivyo x 2

CHORUS:
ulisema kwamba hauwezi girl
thats why mi nakuita unakataa
mbona unasita
ulinambia kwamba hutaki
thats why mi nakuita unakataa
mbona unasita
ulisema kwamba ah, baby hautaki tena ah, mpenzi ah,
ulinambia kwamba ah, baby hautaki tena ah, mpenzi ah,

VERSE 2:
wala mi sikufanya makosa
kipi chanzo mpaka ukanitosa
mpenzi nielewe x2

REPEAT PRE CHORUS

BRIDGE::
mateso,karaha na shida x2

REPEAT CHORUS:

OUTRO: baby's foot, na si records
iam back ladies, yeah

2 comments: