Tuesday, September 1, 2009

BADO HAWAAMINI KIFO CHA MJ.......WACKO!


Jamaa kibao mpaka leo bado wanapinga kifo cha mfalme wa pop duniani Hayati Michael Jackson. Kulingana na habari ambazo zipo kitaa huko unyamwezini, bado daktari wake binafsi Dr. Conrad Murray yupo matatani kwa kusababisha kifo cha mfalme huyo ambae alikuwa anapendwa na watu kibao ulimwenguni. Hiyo inatokana na habari zilizopatikana kuwa huyo daktari alimpa mfalme dawa nyingi asubuhi ya siku hiyo aliyofariki na kwamba dawa za mtindo huo alikuwa akimpa mara kwa mara,inaaminika ni kila baada ya nusu saa wakati hizo dawa zinatakiwa kutolewa at least kila baada ya masaa ma4,nanukuu "At 1:30 a.m., Murray gave Michael valium. At 2 a.m., he injected him with lorazepam, and, at 3 a.m., Murray administered midzaloam". Jamaa mmoja alisikika akisema "By 10:40 a.m. the morning of Michael's death, Murray gave him propofol, which ultimately killed him". Jamaa hawezi kukwepa kifungo,unajua kwa sababu gani? Kuna habari pia zinasema "Even a person without an education in medicine would consider suspect the dosages of medicine Murray administered to Michael",kwa kauli kama hizo jamaa atapona kweli......... sijui? Labda kuwe na ufisadi mkubwa kama bongo,otherwise mmmmmmmh,hatari jamaa atanyea debe! Mfalme wa pop duniani Michael Jackson alifariki dunia Juni 25,2009 baada ya kushambuliwa na maradhi ya moyo ambayo inasemekana yalisababishwa na dawa alizopewa na daktari wake.

No comments:

Post a Comment