Thursday, October 15, 2009

LIL'WAYNE ANATEGEMEA KUPATA MTOTO WA 4!

Habari za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali vya habari zinasema mwanamuziki maarufu wa Hip hop nchini Marekani Li' Wayne anatarajia kupata mtoto wa kiume kupitia kwa mpenzi wake mpya ambaye ni mwanamuziki wa RNB aitwaye NIVEA. Inasemekana kuwa mtoto huyo atakuwa ni mtoto wa tatu kuzaliwa wa Lil'Wayne ndani ya kipindi cha mwaka mmoja ambapo mtoto mmoja alipatikana mwezi Oktoba mwaka jana 2008,mwingine mwezi uliopita Septemba 2009 ana watatu anatarajia kupatikana mwezi huu.

Hata hivyo, habari zaidi zinaeleza kuwa mtoto huyo atakuwa mtoto wa nne kuzaliwa kwa rapa huyo maarufu nchini Marekani. Pia kuna tetesi kuwa kwa sasa Rapa huyo ana wapenzi wawili ambao wana mimba zake na hivyo kufanya idadi ya wanawake wanne ambao kaaza nao ingawa wawili kati ya hao hawafahamiki vizuri.

Duh hili balaa, kumbe tabia ya kuzaa hovyo hata people wa huko mbele wanayo hasa ukizingatia kuwa Lil' Wayne hafanani kabisa na tabia hiyo. Haya wale wenzangu na mimi wenye tabia ya kuiga lifestyle za wasanii wa Mtoni igeni na hilo basi tuoneee!

Thursday, October 8, 2009

TANGAZO KWA WANAFUNZI WA UDSM.....!

The University of Dar es Salaam (UDSM) would like to inform all undergraduate students who will continue with studies in the 2009/10 academic year that studies will begin on 26th October 2009.

All bonafide students should pay their share of tuition and other required fees as indicated below before they report to the University as only those who pay the fees will be processed for registration and allowed to access accommodation and other university facilities and services.
Payment should be made through:

1. The University of Dar es Salaam (UDSM) NBC Bank Account Number
040103001709 (UDSM Branch) or CRDB Bank Account Number 01J1088967000
(UDSM Branch).

2. The Dar es Salaam University College of Education (DUCE) NBC Account
Number 071101000196 (Chang’ombe Branch).

3. The Mkwawa University College of Education (MUCE) CRDB Account Number
01J1071134810 (Mkwawa Branch).

4. For those using international telegraphic transfer, the Swift Code is NLCBTZTX for
NBC Bank and CORUTZTZ for CRDB Bank.

Students should keep the original pay-in slips for submission to the University.

In addition to the tuition fees indicated in the schedules below each student (regardless of the means testing grade) MUST also pay the approved Direct University Cost amounting to TZS 74,900/= (composed of Examination fee 12,000/=, ID fee 5,000/=, Registration fee 5,000/=, Student Union fee 2,500/= and Medical capitation fee 50,400/= payable to the National Health Insurance Fund through UDSM).


Students are further urged to pay the tuition fees in full by 15th October 2009. However, those who will be unable to do so are allowed to pay for a single semester which is half of the tuition fee indicated above. Students who will pay for the whole year will be issued with Identity Cards lasting for the whole year while those paying for a semester will have IDs lasting for a semester. Such students will need to pay for the new IDs that will be issued to them in the second semester, having complied with fees payment. Students should note that payment per semester applies only to tuition fees as the direct university cost of TZS 74,900/= need to be paid up front for the whole academic year.

Prof. Y.D. Mgaya
Deputy Vice Chancellor – Administration
30th September, 2009

Wednesday, October 7, 2009

How To Deal With a Difficult Person

Don’t say something you’ll regret! Instead, try these tips from clinical psychologist Nando Pelusi, PhD:

1. First, acknowledge that the person seems bothered.

2. Ask, “What are you upset about?” This shows that you want to communicate rather than argue.

3. Stand up for yourself, but don’t let emotions take over.

4. Look for common ground. Ask what each of you can do to avoid these feelings in the future.

5. Don't obsess. If you can find your way to harmony, great. If not, just let it go.

8 Ways to Ease Your Worries

We know Mama was right when she said, "Money can't make you happy." But we also know financial worries can shake us up. As we wait for the economy to turn around, is there anyone who isn’t feeling anxious? If you’ve been laid off and there’s no job in sight, you may feel like life is whirling further out of control with every hoarded dollar you spend.

But that “so-scared-I-can’t-breathe” feeling doesn’t have to take over. You can stop it by deliberately tuning out fear and turning up the volume on other things like love, faith and community. Focusing on life’s positives can help you feel grounded.

“We tamp down fear by noticing the blessings and opportunities the economy has handed us,” says the Most Rev. Katharine Jefferts Schori, the first female presiding bishop of the Episcopal Church. “Having less money for eating out can result in healthier meals eaten with family, and more time to build and strengthen relationships.” Being aware that there are others who are worse off may spur you to volunteer.

Here’s another thing: A financial challenge such as an impending foreclosure, a layoff, a house worth less than the mortgage, is just a problem to get through. How we deal with that problem may shape us for good or ill, but the fact that it happened to us says nothing—we’re the same people we were before.

Even in the depths of the Great Depression, when 1 American in 3 was out of work and there were breadlines everywhere, people still managed to fall in love, play with their children, sing along with the radio, enjoy life. A lesson we can learn from those times is that there are always pockets of joy, and many ways to foster inner peace.

1. Accept that troubles are part of life. With all the focus on celebrity lifestyles during the past decade or so, “it’s almost as if we’ve been told life is supposed to be perfect all the time, and something is wrong with us if it isn’t,” says Victoria Moran, author of Living a Charmed Life. “That’s not true!”

Sometimes you just happen to be the person whose car runs over a nail in the road, and you end up with a flat tire. You didn’t do anything to deserve it. Being careful won’t eliminate every last chance of picking up a nail. Neither will being nice and working hard on your driving skills.

In the same way, you aren’t any more unlucky than anyone else if the economic slowdown is creating new difficulties for you. The answer to “Why me?” is “Why not me?” When you keep reminding yourself that life has its ups and downs, you’re better able to “change your default setting,” as Moran puts it. “All of a sudden, ‘Everyone’s healthy, and we’re safe and content, even now,’ becomes as good as ‘Rich and getting richer,’” she says.

2. Don’t obsess over the news. Molly Peter, a real estate agent and mother of four in Bethesda, Maryland, never watches the news anymore. “It’s surprising how much more positive I feel every day,” she says. Instead, she listens to music or an audiobook while in the car or cooking.

This technique is OK to use as long as you’re not in denial about the upheavals going on, says Sonja Lyubomirsky, PhD, a University of California, Riverside, professor of psychology and author of The How of Happiness. Of course you want to stay informed—just don’t let it overwhelm you. “Your life will be happier if you focus on affirming things,” rather than things that depress you, says Dr. Lyubomirsky.

3. Reach out to friends. The way you cut fear down to size, says Rev. Dr. Forrest Church, author of 25 books including Freedom from Fear, is to avoid the urge to isolate yourself when trouble hits. It’s crucial to be with people, and by “people,” he means more than your immediate family and the dog.

But that’s not what most of us tend to do. When we get laid off, we feel singled out and helpless. We may be furious, bitter or sad. Most certainly, we feel embarrassed. So we hunker down and hide.

“You can’t let yourself do that,” Dr. Church says. “When you do, you get into a conversation with your fear, and it builds.” You may even start blaming yourself. “One neighbor at a time, one friend at a time, break out of your isolation every day,” he says. “When we start engaging with other people, we find ways around that wall that’s in front of us, solutions and ideas we might not have seen by ourselves.”

4. Cultivate gratitude, now more than ever. You may be eating more rice and beans these days, but if there’s food on the table, that’s a blessing. You can be grateful that your son is learning to read, for your health, for the neighbor who waved as she mowed her lawn.

In a 2002 study conducted at the University of Pennsylvania, researcher and psychology professor Martin Seligman, PhD, asked severely depressed people to go to a website once a day, before they went to bed, and write down three good things that had happened that day and why. (These were people who were so depressed that just getting out of bed might be worthy of the list.) Listing three good things daily was their only treatment. Within 15 days, 94% felt less depressed.

The study has been repeated several times since. Every time, researchers found that being thankful actually made the subjects feel happier.

“Saying thank you is powerful,” says Rabbi Julie Schonfeld, who recently became the first woman to become executive vice president of the Rabbinical Assembly, representing Conservative Jewish rabbis worldwide. “It turns us from a mindset of lack to a mindset of gratitude for the good things in our lives.”

5. Decide not to worry. Studies have found that some people worry 10 times more than other people do, although their life circumstances may not be much different from those of people who hardly worry at all. Not surprisingly, the champion worriers were more likely to report being unhappy than those who worried less. Some people are predisposed to worry more than others, says Boston College psychologist Maya Tamir, PhD, but we do have some control over it, meaning we can choose whether to worry or not. Deciding not to worry is not the same as pretending everything is fine. By all means, be practical. But once you’ve made a plan for “what if I get laid off,” don’t continue to fret about it in your head or talk about it to others, advises Dr. Lyubomirsky.

6. This goes for dwelling, too. Dwelling, or replaying a stressful event over and over in your head, can keep you stuck. Dr. Lyubomirsky has documented the negative effects of dwelling. Psychologists call this rumination, and there are tricks to stopping it, she says. One is to see whether you have any worry triggers and to distract yourself when you begin to ruminate.

Try different tactics until you can turn off worry the way you change a TV channel. Solitary exercise may not help unless you work out so hard you don’t think about other things. “I used to go for a run when I found myself ruminating,” reports Dr. Lyubomirsky. “Well, running made me do it more!” Good bets: reading to a child or watching a funny movie.

Another trick she finds effective: Make a worry appointment with yourself. Plan to worry from 9 to 9:30 a.m., for example, and if you find you’re worrying at any other time during the day, tell yourself to put it on hold. Silly, maybe—but it works, Dr. Lyubomirsky says.

7. Work at staying upbeat. In her latest book, Dr. Lyubomirsky makes an interesting point: A growing body of research shows that our sense of well-being is about 50% dependent on a happiness setpoint. This factor is genetic, much like a weight setpoint. Of the rest, only about 10% is circumstantial: big income or small, married or single, gorgeous or plain. “What’s exciting is that the other 40% percent is under our control,” she says. “It depends on our daily, intentional activities.” Even something as simple as smiling can lift your spirits. “Staying positive is really important, right down to the effect it has on your immune system,” Dr. Lyubomirsky says.

8. Take part in your faith. Worship offers transformative power of its own because it “takes us out of ourselves,” says Rabbi Schonfeld. A faith community can feel like a supportive extended family. Going to the church or synagogue during the week to meet friends or volunteer our time can be a mission when we have no job to go to daily or we don’t know what to do next. And there are a lot of opportunities to help with service and outreach projects.

“Miraculous things can happen when we join hands to help one another,” says Rabbi Schonfeld. “It isn’t just the good works, though they are important. Working together also relieves our fear and anxiety, and gives us a new surge of energy.” Another benefit: We can’t shelter our children, especially our older children, from the troubles related to the present economy. “But we can let them see us acting with a sense of faith and purpose,” which shows them that we’re able to cope, says Rabbi Schonfeld.

Maybe you just flat-out know you need help. If you haven’t been involved with a church before, turning up when you need groceries or you just got a pink slip can feel embarrassing, even hypocritical. Do it anyway, suggests Rev. Jefferts Schori. “Many times we change our lives for the good, or begin a spiritual journey, when we’re feeling the most down and vulnerable,” she says.

Friday, October 2, 2009

JAMANI SCHOLARSHIP KWA ANAYEHITAJI......!

Sio utani ni ukweli na serious, kama wewe unaona una sifa zifuatazo basi fanya application ya scholarship hiyo hapo ila usisahau kunikumbuka utakapokuwa huko. Ni bonge la dili tatizo watu hatupendi tu kupiga dili kama hizo ndo mana tunashitukia tu watu wapo unyamwezini wanasoma bila kujua wameendaje......... Its up to you kuapply au kuipotezea!



CHEVENING SCHOLARSHIPS

ABOUT THE SCHOLARSHIP

1. Scholarships are available for applicants wishing to study a Masters course in the UK. This scheme is not tied to any UK institution.

2. Applicants must identify the course they wish to study and the UK Institution they wish to attend. It is the responsibility of the applicant to apply for admission directly to (up to three) UK Institution(s) of their choice before they apply for a Chevening Scholarship. You are required to submit proof of your applications with your Chevening Scholarship Application form. If you are offered a Chevening Scholarship the offer is subject to a confirmed unconditional offer of admission from one of your three chosen UK Institutions by no later than 31 May 2010, failing into that will lead to the withdrawn of the scholarship offer.

3. You must apply for a Masters course that falls within at least one of the following priority areas:
• Environment/biodiversity/climate change/ecology;
• Governance (in broad sense)/human rights;
• Media/journalism/communication;
• Development/poverty reduction
• Sociology
• Public administration
• Politics/economics
• Conflicts/peace studies

4. Chevening Scholarships cover the following:


a gratis student visa

all your academic fees

a monthly allowance to cover living expenses

an arrival and departure allowance to help with travel

a book and clothing allowance

travel costs to and from the UK.

HOW TO APPLY

5. Make sure that you are eligible to apply for a Chevening scholarship. The criteria are as follows:

Eligibility Criteria:

• You can apply for a Chevening scholarship after you have completed your undergraduate studies with an upper second class degree or higher
• You can apply if you have already begun a career in your chosen field. You'll be expected to show you have at least three years' working experience, with an excellent track record illustrating your achievements, and evidence that you will become a leader especially in the fields of
 Environment/biodiversity/climate change/ecology
 Governance (in broad sense)/human rights
 Media/journalism/communication
 Development/poverty reduction
 Sociology
 Public administration
 Politics/economics
 Conflicts/peace studies
• You are expected to show a commitment to return to Tanzania, where you will contribute to the country's socio-economic development using the new skills and knowledge acquired during your stay in the UK
• You are also expected to have good English language skills (most UK Higher Education institutions require a minimum IELTS of 6.5 for admission onto postgraduate courses)
• You can apply if you are between 25-40 years old and must be a Tanzanian Citizen.

You are not eligible if you:
• have already started a course in the UK at the time of application
• have in the past received a British Government funded scholarship
• work for the British Government (including the British Council)
• apply from another country
• are seeking military training (though military personnel can take academic course at civilian institutions)
• are applying for part time courses
• are applying for distance learning
• wish to study a course of more than 12 months in duration
• wish to study an undergraduate degrees

6. Applicants must apply directly to their chosen UK Institution (s) for admission to your chosen course(s) before applying for a Chevening Scholarship.

7. Applicants must complete the online Chevening Scholarships’ application form at http://www.britishcouncil.org/africa-chevening.htm. Tanzania Chevening applications start on 1st September 2009 until 31st December 2009. Do not submit your hard copy application at this time.

8. Applicants must make sure they complete all the sections on the application form. WE CANNOT CONSIDER INCOMPLETE APPLICATION FORMS. If some sections in the form are not relevant to the programme you are applying for, please insert “not applicable”.

9. The British Council will contact only short listed candidates inviting them for interviews. Ensure that you provide your latest email address on the online application form. Do not contact the British Council to enquire about the progress of your application if you have not been shortlisted.

10. Interviews will be conducted in Dar es Salaam. Short listed candidates will be expected to make their own travel arrangements and accommodation bookings. Unfortunately, the British Council is unable to reimburse cost incurred in attending the interview.

11. The decision of the Interview Panel is final.

For more information please visit http://www.chevening.com/

7 Reasons You're Not Getting a Job

1. Your network isn’t big enough. Set yourself a goal—like making three new contacts every day. Your network cannot be too big. Think former bosses/colleagues, neighbors, friends of friends, relatives of friends, relatives of friends of neighbors’ bosses. Use your spouse’s network, too.

2. You’re not working your network. This especially includes potential employers with whom you’ve interviewed. Keep in touch with those people! Respond to their tweets and status updates. Send them links to interesting/relevant articles. Stay on their radar.

3. You’re relying on Internet job postings. You need to do more than post to the online boards. Lots more. Make like a detective and find jobs before they’re advertised.

4. You’re projecting negativity. Yes, you may be feeling more desperate with each passing day but…neediness is such a turn-off. Exercise, meditate, pray, read upbeat literature. Do whatever you need to do to stay positive.

5. Your body/manners are betraying you. Do you jiggle your knee, twirl your hair, bite your nails? Are you too talkative? Are your clothes inappropriate? Ask someone in your professional network for some honest feedback.

6. You’re not going straight to the hiring manager. Use networking to learn about and then approach those people who would actually be your boss. (See no. 2.)

7. You’re looking at the job search as a sort of vacation. Too many people, when they get laid off, say, “Finally, I can spend more time with my kids,” or “Finally, I can clean out the garage.” Job hunting is a lot more work than working.

Thursday, October 1, 2009

WATU WANAOONGOZA KWA UTAJIRI MAREKANI.

1. WILLIAM H. GATES III

Net Worth: $50 billion

Source: Microsoft

Residence: Medina, Wash.

Age: 53


2. WARREN BUFFETT

Net Worth: $40 billion

Source: Berkshire Hathaway

Residence: Omaha

Age: 79


3. LAWRENCE ELLISON

Net Worth: $27 billion

Source: Oracle

Residence: Redwood City, Calif.

Age: 65


4. CHRISTY WALTON & FAMILY

Net Worth: $21.5 billion

Source: Wal-Mart

Residence: Jackson, Wyo

Age: 54



5. JIM C. WALTON

Net Worth: $19.6 billion

Source: Wal-Mart

Residence: Bentonville, Ark.

Age: 61


6. ALICE WALTON.

Net Worth: $19.3 billion

Source: Wal-Mart

Residence: Fort Worth, Tex.

Age: 60



7. S. ROBSON WALTON

Net Worth: $19 billion

Source: Wal-Mart

Residence: Bentonville, Ark.

Age: 65


8. MICHAEL BLOOMBERG

Net Worth: $17.5 billion

Source: Bloomberg LP

Residence: New York City

Age: 67


9. CHARLES KOCH (tie)

Net Worth: $16 billion

Source: Manufacturing, energy

Residence: Wichita, Kans.

Age: 73



10. DAVID KOCH(tie)

Net Worth: $16 billion

Source: Manufacturing, energy

Residence: New York City

Age: 69

How to Stay Positive During a Long Job Search

With a tough summer of job hunting behind you, you may be dreading the prospect of a tough autumn of job hunting ahead of you.

If so, you could not be blamed. It’s hard to keep banging away at something that doesn’t show results. Even worse, the hopelessness, anger, and depression you may be feeling can actually be harmful. Potential employers can smell desperation a mile away. It is, sorry to say, a turnoff.

So, right now your biggest problem may be staying positive. Try this:

• Find healthy ways to vent the hopelessness, anger, and depression. Don’t let it all just fester inside. Get it out, through exercise, therapy, meditation, prayer—whatever works.

• Maximize your income; minimize your out-go. Rent out a room. Sell unneeded possessions. Take a temp job. Controlling your financial life, even in small ways, is empowering.

• Even when you’re not leaving the house (to go to a job interview, to network), get dressed as if you were. Shower, shave, coif, and put on a decent outfit. You’ll feel better, promise.


• Spend time with upbeat people. Positivity is contagious. Whatever you do, avoid the doomers-and-gloomers. They are not your friends right now.

• During your “off” time, do what makes you feel happy and—this is important—shows a tangible result. Clean a closet, volunteer to help those less fortunate than yourself, bake cookies. If at the end of each day you can point to something real that you’ve accomplished, you’ll have an easier time staying positive.

Wednesday, September 30, 2009

QUESTIONS YOU MAY BE ASKED IN THE INTERVIEW.

Most of the people think that graduating is end of the game and that graduation means good work or fulfilment of own's dreams. In reality, Graduation does not mean so as one is supposed to make some applications and attending some interviews which may result into pass or fail. For those who think that they need to prepare for niterviews do not know what they will be asked and some think that may be what they have studying in colleges are the ones that they will come across with BUT below are some of the questions which are usually asked during interviews........

Tell me about yourself? (try to hold your response to 2 minutes)

What do you know about our company?

Why should we hire you?

What can you do for us that someone else can't?

What do you look for in a job?

What skills and qualifications are essential for success in the position of ______?

How long would it take for you to make a meaningful contribution?

How does this assignment fit into your overall career plan?

Describe your management style.

What do you believe is the most difficult part of being a supervisor of people?

Why are you looking for a new career?

How would your colleagues describe you?

How would your boss describe you?

How would you describe yourself?

What do you think of your present or past boss?

What were the five most significant accomplishments in your last assignment?

What were the five most significant accomplishments in your career so far?

Can you work well under deadlines or pressure?

How much do you expect if we offer you this position?

Why do you want to work for us?

What other positions are you considering?

Have you kept up in your field with additional training?

What are your career goals?

What are your strong points?

What are your weak points?

How did you do in school?

What position do you expect to have in 2 to 5 years?

If you took the job what would you accomplish in the first year?

What was wrong with your current or last position?

What kind of hours are you used to working or would like to work?

Do you have your reference list with you? (Remember don't give it out unless it is asked for).

Can you explain your salary history?

What questions didn't I ask that you expected?

Do you have any question for me? (Stay tuned for the Questions for the Interviewer that you might want to ask below).


Up to this moment, I think each one will be confident during interview because some are not confident because they don't know what they will be asked......... Keep in touch with me because I will be giving you tips related to employment almost daily!

NJIA 4 ZA KUKWEPA UNENE BILA KWENDA GYM.......!

Watu wengi wanaupenda uwembamba lakini hawajui watumie njia gani ili kupunguza unene. Naposema hivi baadhi ya watu watakuwa wanashangaa kwa nini watu hawaupendi unene wakati wenyewe wanautafuta kwa hali na mali lakini hawaupati, sitanii hata kidogo kama unabisha muulize kijana wangu Sayduu au Dunia wanaotafuta ukibonge ili wawe kama Manase.

Unene mara nyingi ni hatari kwa afya zetu kwa sababu unaambatana na magonjwa kama ya Moyo na Kisukari wakati mwingine, pia uchovu wa mara kwa mara na hivyo kushindwa kufanya kazi ngumu kwa muda mrefu. Zifuatazo sasa ni njia za kumfanya mtu mnene kuwa mwembamba na kinyume cha hapo zinaweza kumfanya mtu kuwa mnene;

1. KUTEMBEA HARAKA HARAKA. Hii ni njia rahisi zaidi ya kupunguza unene kwa sababu hauhitaji muda wa ziada kuifanya kazi hiyo bali ni muda uleule wa kawaida unaotembea ndio utakaokusaidia kupunguza unene. Unapokuwa unatembea jitahidi kuwa speed hata kama hauhitaji haraka ili kuchoma kama Calories 50 hivi za mwili.

2.TUMIA MWILI WAKO KUZUIA VITU. Unaweza kutumia mwili sukuma ukuta au kusukuma seat ya gari lako kwa kutumia mwili hasa unapokuwa kwenye foleni ya magari. Pia unaposoma gazeti nyumbani jaribu kukaa chini na kutengeneza Shepu ya V flani hivi. Hiyo vile vile inasaidia kuchoma Calories na kupunguza mwili.

3.MAZOEZI MADOGOMADOGO ASUBUHI AU JIONI. Fanya vijizoezi vidogo vidogo asubuhi au jioni hasa kabla hujaenda kuoga. Mazoezi hayo ni kama kusimama na kukaa, kuchuchumaa na kusimama ukiwa umeweka mikono kisogoni na mazoezi mengine nje ya hayo.

4.KUPUNGUZA MATUMIZI YA LIFT. Jitahidi kutumia lift pale ambapo unapanda ghorofani hasa kama unapokwenda hapazidi ghorofa ya 4. Hiyo itakusaidia kwa kiasi kikubwa kufanya mazoezi bila kutumia muda na gharama zozote za gym.

HIzo ni njia kubwa zinazoweza kutumika kupunguza unene kiurahisi lakini kuwa makini na aina ya lishe unayotumia kwa sababu la sivyo utakuiwa unafanya kazi ya kupunguza na kuongeza mwili kwa wakati mmoja na hivyo matokeo ya kupungua kwa mwili kutoonekana......... I wish u all the BEST.

Tuesday, September 29, 2009

INTERVIEWING TIPS

Well, its that time again. Time to prepare yourself for the journey that lies ahead. It can be a little scary, but with the proper preparation you will do much better. Below are some general tips to get your focus on track. With a few interviews you'll be on your way!

Interview Tip 1: Plan Ahead - Do a little homework! Research the company and the position if possible, as well, the people you will meet with at the interview. Review your work experiences. Be ready to support past career accomplishments with specific information targeted toward the companies needs. Have your facts ready!


Interview Tip 2: Role Play - Once you have finished studying, begin role playing (rehearsing). Use the general questions provided below in the Interview Preparation Area. Write down answers if it helps to make your presentation more concise. Try to keep your answers to the information your new employer will want to know.

Interview Tip 3: Eye Contact - Maintain eye contact with your interviewer. Show you want the job with your interest.


Interview Tip 4: Be Positive - In particular, avoid negative comments about past employers.


Interview Tip 5: Adapt - Listen and adapt. Be sensitive to the style of the interviewer. Pay attention to those details of dress, office furniture, and general decor which will afford helpful clues to assist you in tailoring your presentation.



Interview Tip 6: Relate - Try to relate your answers to the interviewer and his or her company. Focus on achievements relevant to the position.


Interview Tip 7: Encourage - Encourage the interviewer to share information about his or her company. Demonstrate your interest. Some suggested questions to ask the interviewer are provided in the "Questions You Could Consider Asking the Employer" section.

MCHEKI MILLEY CYRUS........... MWANAMUZIKI!

Milley Cyrus ni mmoja wa mastaa 10 ambao wanatambulika na MTV kama the most famous artists hukooo Marekani. Hebu hapa mcheki akiwa katika matukio mbalimbali..... Yupo sexy mbaya afu ni bado mchanga kabisa akiwa na umri usiozidi miaka 18...... Nambie hapo!







DUH...... POLENI SANA KWA KUWATOSA!

Kwa siku kadhaa nilikuwa cjawapa chochote cha kuwafurahisha au kuwahabarisha kama ilivyo kawaida yangu. Sio kama nimewatosa au labda nimefulia aaaaaagh ila tu ni mambo mbalimbali yaliyo nje ya uwezo wangu ndo yaliyonifanya niwe kimya. Ila msijali mudawote nawawaza ninyi ili kuwapa ile ki2 roho inataka na muendelee kuniona wa muhimu kwenu au sio...... Basi pamoja 2uendeleze game!

Friday, September 25, 2009

SPICE GIRLS WARUDI TENA.

Lile kundi maarufu la muziki lililokuwa likijulikana kama SPICE GIRLS huenda likarudi tena kwenye game. Kundi hilo limewahi kutamba na vibao mahiri kama VIVA FOREVER na vingine vingi. Kundi hilo ambalo mmoja wa wanamuziki wake aitwaye VICTORIA ni mke wa mwanasoka maarufu huko Uingereza David Beckham. Kundi hilo linategemewa kuwa mmojawapo ya waimbaji katika ufunguzi wa mashindano ya kombe la dunia huko Afrika Kusini mwaka 2010.
Hata hivyo mpaka wakati huu, Victoria Beckham hana taarifa na kurudiana kwa wanamuziki hao na kuanza kufanya shughuli za kimuzuki pamoja na hivyo kuwa na uwezekano wa yeye kutokuwepo kwenye muungano huo mpya ambao utakwenda kwa jina lilelile la SPICE GIRLS.

Tungoje tuone basiii................!

FUNUNU: RIHANNA NA JUSTIN TIMBERLAKE MMMH....!

Kuna fununu kuwa mwanamuziki wa kike Rihanna ambae aliacha na mpenzi wake wa zamani Chris Brown Mwezi februari mwaka huu ameanzisha uhusiano mpya na mwanamuziki na mwigizaji maarufu Justin Timberlake hivi karibuni. Habari za ndani zinaeleza kuwa mapenzi hayo yalianza baada ya kijana huyo kudatishwa na uchezaji muziki wa mwanadada huyo pale walipokutana kwenye club ya 40/40 jijini New York wiki iliyopita wakati Rihanna alipokwenda Club na shati jeupe la Baba yake.
Hata hivyo habari hizo bado hazijawa confirmed kivilee kwa sababu ndo kwanza mambo yenyewe yanaanza hata hayajachanganyie kivile ingawa baada ya kutoka club siku ile wameonekana tena mara kadhaa wakiwa pamoja. Hiyo inaamaanisha kuwa possibility ya mdada huyo kurudiana na mpenzi wake wa zamani Chris Brown ipo hatiani. All in all, Stay tuned kwa mahabari zaidi kuhusu uhusiano huo mpya ambao unatarajiwa kuwa matata kupita kiasi hapahapa.........!

HEAVIEST NEWBORN EVER RECORDED IN INDONESIA.

Jamani wenzetu wanajua sana kutunza kumbukumbu za matukio mbalimbali yanayotokea nchini mwao, hebu tushee hii ya mtoto mwenye kilo nyingi kuzaliwa nchini Indonesia katika historia yao......... Cheki na huyo mtoto ambae picha yake ipo hapo pembeni!

An Indonesian woman has given birth to an 19.2-pound (8.7-kilogramme) baby boy, the heaviest newborn ever recorded in the country, a doctor said on Wednesday.

The baby, who is still unnamed and is 24.4 inches (62 centimetres) long, was born by Caesarean section on Monday at a public hospital in North Sumatra province, a gynaecologist who took part in the operation told AFP.

"This heavy baby made the surgery really tough, especially the process of taking him out of his mum's womb. His legs were so big," Binsar Sitanggang said.

The boy is in a healthy condition despite having to initially be given oxygen to overcome breathing problems, the gynaecologist said.

"He's got strong appetite, every minute, it's almost non-stop feeding," he said.

"This baby boy is extraordinary, the way he's crying is not like a usual baby. It's really loud."

The boy's massive size was likely the result of his mother, Ani, 41, having diabetes, Mr Sitanggang said.

She had to be rushed to hospital due to complications with the pregnancy, which had reached nine months. The baby, her fourth, was the only child not delivered by a traditional midwife.

When a diabetic mother's glucose level is high during pregnancy, the baby can receive too much glucose and grow too large, according to the American College of Obstetricians and Gynaecologists.

Indonesia's previous heaviest baby, weighing in at 6.9 kilos, was born in 2007 on the outskirts of the capital Jakarta, according to the Indonesian Museum of Records website.

The heaviest baby ever was born to Anna Bates of Canada in 1879, according to The Guinness Book of World Records.

It weighed 23.12lb (10.8kg) and died 11 hours after birth.

Hiyo ni hukooo mbele, nchi za watu....... Vp kuhusu Tanzania hakuna data za mtindo huo au mahospitalini hakuna mtandao ambao issue kama hizo zinaweza kugundulika na kutangazwa kama historia za nchi zetu? Ni kitu kidogo lakini kinaweza kusaidia mtu na nchi kujitangaza katika mataifa mbalimbali..... Mimi sijawahi kusikia lakini kama una data zozote kuhusu mtoto kama huyo hapa Tanzania nigongee basi tushee na wadau wengine!

Thursday, September 24, 2009

hit counter
hit counters

LYRICS...........HOLD MA HAND - Akon Ft. Michael Jackson

[Akon]
Ohhh...
Konvict Music...

[Michael]
Ohhh

[Akon]
Yeahhh

[Michael]
Yeahhh

This life don't last forever (hold my hand)
So tell me what we're waiting for (hold my hand)
We're Better off being together (hold my hand)
Than being miserable alone (hold my hand)

[Akon]
Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright.
Cause when it gets dark and when it gets cold
We hold each other till we see the sunlight

[Michael]
(So if you just)

[Michael/Akon]
Hold my hand
Baby I promise that I'll do
All I can
Things will get better if you just hold my hand
Nothing can come between us if you just hold,
hold my, hold, hold my, hooold, hold my hand.

[Michael]
(Hold my hand)

[Akon]
The nights are getting darker (hold my hand)
And there's no peace inside (hold my hand)
So why make our lives harder (hold my hand)
By fighting love, tonight. (sooooo)

[Michael/Akon]
Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright (alright)
Cause when it gets dark and when it gets cold
We hold each other till we see the sunlight

So if you just hold my hand
Baby I promise that I'll do (If you just, If you just)
All I can
Things will get better if you just hold my hand (yeahh)
Nothing can come between us if you just hold,
hold my, hold, hold my, hooold, hold my hand.

[Michael]
Hold my hand

[Akon]
I can tell you're tired of being lonely (yeahhh)
Take my hand don't let go baby hold me (hold mee)
Come to me let me be your one and only (hold my haand)
So I can make it alright til' the morning (hold my hand)

I can tell you're tired of being lonely (hold my hand)
Take my hand don't let go baby hold me (hold mee)
Come to me let me be your one and only (one and only)
So I can make it alright til' the morning (hold my hand)

[Michael]
Hold my hand

[Michael/Akon]
Hold my hand (yeahhh)
Baby I promise (hold my hand) that I'll do
All I can (hold my hand)
Things will get better (oohhhhoooo) if you just hold my hand (ooooo)
Nothing can come between us if you just hold,
hold my, hold, hold my, hooold, hold my hand.

[Akon]
(Hold my hand)

Hold my hand (yeahh)
Baby I promise (yeahh x4)that I'll do
All I can (hold my haand)
Things will get better if you just (oohhoo) hold my hand
Nothing can come between us if you just hold,
hold my, hold, hold my, hooold, hold my hand.

[Akon]
Hold my hand

JAY Z AAMUA KUONGEA KUHUSU LIL'MAMA!

Hatimaye Jay Z aamua kuzungumzia suala la msanii wa kike Lil'Mama kupanda stejini wakati yeye na mwanadada Alicia Keys wakitumbuiza siku ya utoaji wa tuzo za video za MTV 2009. Jay Z ambae alikuwa akitumbuiza na mwanadada Alicia Keys siku hiyo alivamiwa ghafla na mwanadada Lil'mama ambae alipanda stejini na kuungana nao kwa kucheza nao.
Picha hiyo inamuonesha Lil'mama baada ya kupanda stejini akicheza sambamba na Jay Z na Alicia Keys.

Kwa nchi kama tanzania ni kitendo cha kawaida kwa shabiki au mwanamuziki mwingine kupanda stejini na kuungana na mwanamuziki wakati akipafomu lakini kwa nchi za wenzetu si hivyo. Lil'Mama amelaumiwa na watu mbalimbali kwa kitendo chake hicho cha kujiunga na wasanii hao na kuanza kucheza nao bila makubaliano. Wengi wamelaumu kwa kigezo kuwa hawakupanga pamoja na hivyo kufananisha kitendo hicho na kitendo alichofanya Kanye west siku hiyo.

Wanaendelea kusema kuwa kama ilikuwa ni kupandwa na mzuka basi akifanya hivyo kwa kucheza chini ya steji na sio kwa kupanda stejini na kuingilia mipangilio ya shoo hiyo.

Wednesday, September 23, 2009

HOTTEST MCs IN THE GAME...........MTONI!

Mwezi Oktoba mwaka huu,MTV inatarajia kuwatangaza hottest MCs in the game huko Marekani ambao watatangazwa tarehe 4 Oktoba na MTV na habari zao kutolewa na MTV NEWS. Maemsii hao watapatikana kupitia kura ambazo zinazigatia vigezo vifuatavyo;

Lyrics: Uwezo wa kuandika mistari yenye mguso kwenye jamii na ambayo inaweza kukaa kwa muda mrefu bila kusahaulika.

Flow:Flow ya mistari ambayo imetulia na yenye uwezo wa kumpa mtu hamu ya kuendelea kuisikiliza.

Impact: Nyimbo zinazopigwa sana redioni au kwenye TV sio kwa mapenzi ya watangazaji bali maombi ya watu mbalimbali.

Buzz: wasanii wanaongelewa sana mitaani kutokana na nyimbo zao, wasanii ambao ni topic maofisini, mashuleni, vijiweni au sehemu mbalimbali kuokana na ubora wa nyimbo zao.

Sales: Wasanii ambao wanauza sana kazi zao kwa sababu yoyote ile hasa ubora wa nyimbo zao.

Intangible: Ile hali ya kukubalika bila sababu ya msingi, hali ambayo msanii anakubalika lakini wanaomkubali hawajui kwa nini wanamkubali.

Mpaka sasa kura za kutosha zimeshapigwa na zinaelekea mwisho lakini wasanii wa5 ambao wapo juu na inawezekana wakatengeneza Top 5 ni pamoja na;

EMINEM - 39%


RICK ROSS - 23%


50 CENT - 15%


JOE BUDDEN - 9%


LLOYD BANKS - 4%


Wengine baadhi ambao wapo kwenye hiyo list ni The Game ambae ana 2% na wengine ambao wana asilimia 1 ni Kanye West, Lil'Wayne,Soulja Boy na Drake.

Katika shindano kama hilo kwa miaka iliyopita, wasanii walioibuka kidedea ni Kanye West kwa mwaka 2008 na Lil'Wayne kwa mwaka 2007. Tuendelee kuvuta subira ili tuone kama kweli Eminem ataibuka kidedea au itakuwaje.......!

Tuesday, September 22, 2009

RIHANNA AENDE CLUB NA SHATI LA BABAKE!


Unaweza usiamini ukaona kama nakuongopea hivi, lakini ndo ilivyotokea. Siku ya Jmosi ya tarehe 19 Septemba 2009, Mwanamuziki wa kike Rihanna alitoka na pigo matata sana wakati akienda kuspend weekend hiyo ambayo ilikuwa siku moja kabla ya sikukuu ya IDD. Hiyo ilikuwa ni pale alipokuwa akiingia katika club ya 40/40 iliyopo new York City nchini Marekani.
Rihanna alipigilia shati jeupe kubwa la kiume lililomzidi umri ambalo inasemekana kuwa ni shati la baba yake.Watu mbalimbali waliotoa maoni kuhusu uvaaji wake huo wamemsifia kuwa alipendeza na kwamba ni kawaida yake kupendeza hata kama mavazi aliyovaa ni ya ajabu.


Haya sasa mabinti wa kibongo na tabia zenu za kuiga,mvizie mdingi kaenda kuoga au yupo job afu chomoka na shati lake la kwa ofisi uzame nalo club kama hautasugua bench,I mean utacheza mwenyewe mwanzo mwisho na hakuna hata mwanume wa bahati mbaya atakayekusogelea labda awe ndugu yako....... Lakini natania tu, We pigilia afu ingia club Maisha au Billicanas,TUONEEE!

Friday, September 18, 2009

LYRICS............EGO RMX - BEYONCE Feat. KANYE WEST

(Kanye)
I got a big ego ha ha ha
Im Such a big ego uh uh uh
I got a big ha ha ha ego
She love my big ha ha ha ego
So stroke my big ha ha ha ego
I like to joke around a little bit but here we go
Welcome to the wonderful world of gold plated ???
Everything I throw up, blow up
Talking to the girl she said know what grow up, ya nasty
I dont understand why they tripping if you ask me
Flow just the nicest
I emit the propane
I just spit prolly just raise the gas prices
Everybody in the club tryna get as fresh as me
What you on dog?
Tryna stay recession free
and spit refreshingly when I rock the stadium
You prolly get sweaty, you should get a extra tee
Now im standing next to Jay who standing next to B
Couldve been anywhere in the world but youre here with me
Thats good for my ego, ha ha, me and my ego
And he go everywhere we go
My ego is my imaginary friend
He was with me when I was only imagining
I had dreams of the league,
one day Id play Kobe or walk up to Puff
and he would really know me.
Couldnt let the dream killers kill my self-esteem.
Or use the arrogance as the steam that power my dreams and my ego

(Beyoncé)
Its on,
Baby lets get lost
You dont need
To call into work,
Cuz youre the boss
For real want you
To show me how you feel
I consider myself
Lucky thats a big deal

Why, well,
You got the key to my heart
But you aint gonna need it
Id rather you open up my body
And show me secrets
You didnt know was inside,
No need for me to lie

Its too big
Its too wide
Its too strong
It wont fit
Its too much
Its too tough
He talks like this
Cuz he can back it up
He got a big ego
Such a huge ego
I love his big ego
Its too much
He walks like this
Cuz he can back it up

Usually Im humble
Right now I dont choose
You can leave with me
Or you could have the blues
Some call it arrogant
I call it confidant
You decide when you find
On what Im working with

Damn I know,
Im killing you with them legs
Better yet them thighs
Matter a fact its my smile
Or maybe my eyes
Boy you a site to see
Kind of something like me

Its too big
Its too wide
Its too strong
It wont fit
Its too much
Its too tough
I talk like this
Cuz I can back it up
I got a big ego
Such a huge ego
But he love my big ego
Its too much
I walk like this
Cuz I can back it up

Its too big
Its too wide
Its too strong
It wont fit
Its too much
Its too tough
I talk like this
Cuz I can back it up
I got a big ego
Such a huge ego
But he love my big ego
Its too much
I walk like this
Cuz I can back it up

Ego so big, you must admit
I got every reason to feel like Im that bitch
Ego so strong, if you aint know
I dont need no beat, I can sing it with piano

MASTAA WALIOVAA VIBAYA SIKU YA 2009 VIDEO MUSIC AWARDS.

Majungu hayana asili sio Afrika esp. Tanzania bali hata huko mbele mbele wenyewe wanaita unyamwezini yapo tena sana..... Cjui inawezekana ni mtazamo wangu tu. Hebu cheki picha hizo afu nambie kama kweli hawa mastaa ndo the worst dressed stars at the 2009 MTV Music Awards?

PEREZ HILTON




JENIFER LOPEZ



PINK



ASHLEY GREENE



MEGAN FOX



AMBER ROSE




HOLLY MONTAG




CHRISTEN STERWAT - KATIKATI



NICKY HILTON





LO-BOSWORTH


Jamani hizi taarifa sio zangu bali ni kwa mujibu wa mtandao wa www.thefablife.com, sasa eti nambieni ni kweli wamevaa vibaya au mbwembwe na majungu tu ya mwandishi na kwa kuthibitisha hilo ntakutumia picha za mastaa waliopendeza zaidi uone kama kweli au masihara......... Keep in touch upate zaidi!

CHRIS BROWN AANZA KUTUMIKIA ADHABU.

Mwanamuziki Chris Brown ambaye hivi karibuni alihukumiwa kifungo cha nje cha miaka mi5 na kufanya shughuli za kijamii kwa kosa la kumpiga mpenzi wake wa wakati huo Rihanna, ameanza rasmi kazi ya kufanya shughuli za kijamii kwa kufanya usafi katika maeneo ya Richmond huko Virginia. Chris Brown alianza rasmi kazi hiyo siku ya J'tano wiki hii, kazi ambayo itachukua muda wa siku 180.

Vyombo mbalimbali vya habari na watu walikuwa wakishuhudia Chris Brown akifanya kazi hiyo huku akiwa kavaa mavazi kama mtu wa hali ya chini. Mavazi ambayo aliyavaa siku hiyo ni Jeans nyeusi, Vest nyeupe, kofia nyekundu ya wacheza baseball na Vest kama la traffic lenye rangi ya njano na orange pamoja na Gloves kubwa. Wakati huohuo,Chris Brown kaomba ulinzi kutoka Polisi wa Richmond ambao watakuwa na jukumu la kumlinda kipindi chote ambacho atakuwa anatumikia adhabu hiyo na ulinzi ambao yeye mwenyewe ataugharamia.

Picha ya Chris Brown akifanya kazi za kijamii kama inavyoonekana kwenye website yake ikiwa imeambatana na maneno yenye busara yasemayo," Stop and think back to the last time you accepted responsibility for something. Undertaking responsibility for each one of your actions is a difficult task but by admiting your mistakes you are taking your life to a higher level of accountability".

Thursday, September 17, 2009

APATA ZALI KUTOKA U-SECRETARY MPAKA U-QUEEN!

Mwanamke mmoja,Raia wa Ghana aitwaye Peggielene Bartels na ambae anaishi na kufanya kazi huko Silver Spring,maeneo ya Washington nchini Marekani kama secretary ameukwaa U-queen nyumbani kwao ghana katika mji wa Otuam wenye wakazi wapatao 7,000 na mji huo upo umbali wa saa moja kutoka Accra ambao ni mji mkuu wa nchi ya Ghana. Mwanamke huyo alikuwa ni secretary katika ubalozi wa Ghana nchini Marekani uliopo Northwest Washington.

Kwa maelezo hayo mpaka hapo unaweza kuhisi labda huyo mwanamke kaolewa na King wa mji huo, La hasha si hivyo ila ni kwamba amepewa U-queen huo baada ya King wa mji huo ambae alikuwa na umri wa miaka 90 kufariki dunia na kukabidhiwa mikoba baada na michakato mirefu ya kumsaka mrithi wa kiti hicho.

Hayo yote yametokea wakati Mwanamke huyo akiwa nchini Ghana kwa likizo. Baada ya kupewa taarifa hizo, mwanamke huyo alikata kabisa kwa kuhisi hataweza kuifanya kazi hiyo ukizingatia kuwa alishazea kutumwatumwa na bosi wake kama mtu wa chini sana katika jamii. Hata hivyo jitihada zake za kukwepa jukumu hilo zimeshindikana na mpaka wakati huu huyo mwanamke ni Queen halali wa mji huo wa Otuam uliopo nchini Ghana.

As an advice,dont give up in whatever you are doing because you can know wat God has arrange for you in few days to come. May be God has planned to take you as a president,Prime Minister or General Secretary of AU or UN in 2025. Never give up, keep on struggling and wait for untold promise from God.

Wednesday, September 16, 2009

KIBIBI CHA MIAKA 107 KINATAFUTA MME WA 23...!

Hebu ipitie hiyo habari upate uhondo lakini kwa wenzangu na mimi msiokijua hicho kilugha cha huko kwetu mtanigongea kwenye e-mail yangu ili niwatumie tafsiri ya kilichoandikwa. Si unajua tena sisi tuliosoma enzi za mwalimu,tulisomeshwa bure ili tuje kuwasaidia watu kama nyie au sio?
Cheki hiyo;

107-YEAR-OLD MALAYSIAN WOMAN SEEKS 23rd HUBBY
A 107-year-old Malaysian woman says she is ready to marry for the 23rd time because she fears her current drug addict husband might leave her for a younger woman, a report said Monday.

Wook Kundor made headlines four years ago when she married Muhammad Noor Che Musa, a man 70 years her junior in northern Terengganu state, with pictures of the couple's wedding splashed across regional newspapers.

But Wook is now looking for new love as she fears that Muhammad, 37, who is undergoing voluntary drug rehabilitation treatment in the capital Kuala Lumpur, will leave her once the programme ends, she told the Star newspaper.

"Lately, there is this kind of insecurity in me," the paper quoted her as saying, showing a photograph of the smiling, wrinkled-faced centenarian wearing a Muslim headscarf.

"I realise that I am an aged woman. I don't have the body nor am I a young woman who can attract anyone."

"My intention to remarry is to fill my forlornness and nothing more than that," she said, adding that she felt lonely without her husband by her side to celebrate the coming Muslim festival of Eid al-Fitr next week.

Wook said she planned to visit Muhammad on the second day of Eid if her neighbours were willing to drive her to the capital.

Muhammad, who was a lodger in Wook's house, had previously said it was "God's will" that the couple fell in love.

Jamani ebu tuacheni utani, Kama unaona unakiweza kitafute au nambie nikutumie contact zake ili ucheki nae na mfanye mipango ya harusi najua utakipenda na ukiwa tayari kipo tayari kukutumia CV yake kuhusu malividavi na course mbalimbali za malavidavi alizozipata huko INDIA.

CHEKI MAPIGO YA CHRIS BROWN AKIWA CLUB!

Akiingia club baada ya kuachana na Rihanna:

Chris Brown akiingia katika ukumbi wa 80/80 wa Jay Z


Chris Brown akiwa na mwanamuziki wa kike Fergie

Chris Brown akidance katika club moja huko mbelembele;

Chris brown akiperfomu moja ya nyimbo zake;