Monday, August 31, 2009

JAMANI 2WAPIGIE KURA.....!

Eti umesikia hiyo kuwa mshikaji we2 AY amekuwa nominated kwenye MTV AFRICA MUSIC AWARDS kama Best Hip Hop Artist na mwanadada SHAA nae amekuwa nominated kama Best New Act? Kama haujasikia, basi habari ndo hiyo..........! Kwa hiyo ili kuwafanya kuwa washindi wacheki kwenye website ya MTV au unataka nikuambie inaitwaje........... ok, km vp wapigie kura kwenye http://mama.mtvbase.com/ na tena piga kura mara nyingi kadri unavyoweza,am sure watashinda au co wadau wangu!



Dont 4get 2watoe ndugu ze2 kimasomaso.......!

No comments:

Post a Comment