
Tofauti na wengi walivyotegemea, mkutano huo ulijaza idadi kubwa ya watu. Wengi walitegemea mkutano huo ungedoda kutokana na kuhama chama kwa aliyekua mwenyekiti wa chama mkoa wa mbeya bwana Shitambala.

Mwisho wa yote ulifanyika mkutano mkubwa wa hadhara uliohutubiwa na viongozi wa chama wa kitaifa na wa mkoa kama inavyoonekana katika picha hapo chini.

No comments:
Post a Comment