
Hata hivyo, habari zaidi zinaeleza kuwa mtoto huyo atakuwa mtoto wa nne kuzaliwa kwa rapa huyo maarufu nchini Marekani. Pia kuna tetesi kuwa kwa sasa Rapa huyo ana wapenzi wawili ambao wana mimba zake na hivyo kufanya idadi ya wanawake wanne ambao kaaza nao ingawa wawili kati ya hao hawafahamiki vizuri.
Duh hili balaa, kumbe tabia ya kuzaa hovyo hata people wa huko mbele wanayo hasa ukizingatia kuwa Lil' Wayne hafanani kabisa na tabia hiyo. Haya wale wenzangu na mimi wenye tabia ya kuiga lifestyle za wasanii wa Mtoni igeni na hilo basi tuoneee!
No comments:
Post a Comment